Jumapili, 21 Julai 2013

Mtaa wa kurasini unaundwa na makanisa 3,yaani KIJICHI,KURASINI na MTONI na makambi haya ya mwaka huu yamefanyika katika viwanja vya chuo cha TIA hapa jijini DAR ES SALAAM..
MOTO WA KAMBI:"NAYAWEZA MAMBO YOTE KATIKA YEYE ANITIAYE NGUVU FILIPI 4:13"
WIMBO MKUU:NI WIMBO NAMBA 107 KATIKA KITABU CHA KRISTO USEMAO "SAUTI NI YAKE BWANA"
Leo ni siku ya mwisho wa makambi ya mtaa huu ambayo yalianza jumapili ilyopita ambapo kulikuwa pia na uzinduzi wa kwaya ya MSHIKAMANO TOKA MEATU-SIMIYU,kwaya hii pia ilhudumu katika makambi haya kwa muda huu wa siku saba,na leo watakuwa wanaaga na kurudi  kwao.....

SOURCE: WWW.injilileo.blogspot.com

Hii ni kwaya ya MSHIKAMANO kutoka MEATU SIMIYU wakiimba katika huduma ya makambi ya mtaa wa KURASINI
Kwaya ya KURASINI wakifatilia kile kinachojili katika makambi ya mtaa wa KURASINI

 

Categories:

0 maoni:

Chapisha Maoni

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...